Jipatie TRE EN EN supplement

 Tre en en  ni nini? 

Ni kijazilizo cha nafaka kamili  chenye mchanganyiko wa aina tatu za nafaka ambayo ni kiini cha soya, ngano, na mchele wa brown

Kama tunavyojua kwa kawaida tunatakiwa kula mchele wa brown kama binadamu ndiyo tutakuwa tumekamilisha nafaka kamili au lishe bora tunayozungumzia kwanini tutumie tre en en kama kijalizo cha nafaka kamili

KAZI  YA  TRE EN EN KATIKA MWILI WA BINADAMU

🫓 Tre en en inasaidia kusafisha cell ;(kwa kawaida cell yetu inakuwa na mgando wa mafuta kutokana na vyakula tunavyokula hivyo cell inakuwa aiko sawa imearibika ndo maana mtoto ukimlisha


kitu cha tofauti ni rahisi kuumwa kutafika na kuarisha tofauti na mtu mzima kwasababu tukizaliwa cell inakuwa sali kabisa kama ivo🫓lakini tukishasnza kula vyakula kama chips, mbona za majani 🥬tumejaza nazi na futa ukijani umepotea ndo cell inakuwa na mgando wa mafuta na kuharibika kabisa🍥hivyo basi tunatumia tre en en kwenda kuondoa mafuta yaliyoko kwenye cell ili cell ikae vizuri na kupokea vitu vivyo salama


🫓Tre en en inasaidia dawa nyingine kifanya kazi kwa haraka; kwasababu umeshasafisha cell hivyo ni rahisi sana kufanyakazi kwasababu cell yako iko active kupokea kitu kipya kulingana na cell ikiwa na mgando wa mafuta uwezi kuookea ile dawa itadunda ufanyaji kazi yake auwezi kuwa vizuri kama ikisha safisha cell na kuifanya kuwa active na dawa kufanya kazi kwa urahisi

🫓Tre en en inapunguza uchovu sugu ;uchovu unatoka na cell zetu kuwa chafu kutoka na mafuta mgando au uchafu uliyoganda kwenye cell hivyo inakuta watu wamesinzia kwenye daldala mtu anaenda makumbusho kapanda gali mawasiliano kashalala ni cell aziko active ndo maana tunalala maofisini watu wanasinzia mtu kafika tuh ofisini kafika tuuh darasani kashasinzia mwalimu ajaanza atakufundisha yeye tayali kashasinzia kwasababu ya cell aziko active kabisa

🫓Tre en en  inasaidia mtu kupata choo ;watu wengi sana wanaona ni kawaida kuto pata choo sio kawaida binadamu anatakiwa apate chooo kila akishakula yaani amekula asubuhi anatakiwa apate choo amekula mchana anatakiwa atoe iko choo anatakiwa akila usiku atoe hiko chooo sasa hapa huyu mtu ambae anakaa na uchafu wa siku tatu unampatia tre en en inamsaidia choo kukaa sawa

🫓Tre en en inasaidia kumpatia mtu hamu ya kula ;kama mtu anachangamoto ya kutopenda kula au hali mpatie tre en en atasikia njaaa na atakula kwa kiwango kikubwa mno

🫓Tre en en inasaidia kuondoa stress; kama mtu anapitia stress unampatia hiii tre en en kama anapesa mpatie Alovera juice na tre en stress inaenda kuwa sawa kabisa atarelax kabisa

🫓Tre en en inasaidia kubalance homon ; kwa namna ipo kutoka na mfumo wa vyakula au lifestlye ya siku izi watu wanakuwa wapata sana shida ya homon imbalance inaweza kuwa mtu kupata hedhi kwa namna ya tofauti yaani anapata period miezi na miezi aikati au apati period au siku zake aoni kabisa mpatie tre en en inaenda kutibu tatizo lake kabisa 

🫓Tre en en inatoa sumu mwilini; kwa namna ipi mwili wetu unapokea vitu vingi sana ambavyo kutokana na lifestlye yetu husababishws kuwa sumu mwili mwetu hivyo sumu zinakuwa nyingi sana mwilini mwetu .

🫓Tre en en inasaidia Afya ya ngozi; watu wakitumia hiii product wanakuwa na ngozi mzuri mnoo kwasababu unakuwa unaondoa yale masumu ngozi inakuwa na nuru mnooo kwasababu taka mwili unaenda kuondoa kwa hii product ya tre en en

Bei kopo DOGO la vidonge 60 ni sh. 60,000/

Bei ya kopo kubwa vidonge 120 ni sh 120,000/

Kwa maelezo zaidi WASILIANA Kwa NAMBA 0713322758

Karibu uhudumiwe

Post a Comment

0 Comments